Thursday, February 8, 2024

MAFUNDISHO YA MCHUNGAJI S. KUZENZA

 Ilikuwa jumapili ya Tarehe: 2 Feb 2020, Ndani ya FPCT Shalom

MNENAJI: MCH. S KUZENZA
Ujumbe: Namna Mungu anavyozungumza nasi
#MASIKIO YA NDANI
@ Amani ya Kristo huamua ndani yetu
Rumi 8:14
Yer 31:31-33
2 Kor 3:3
=>Dhamiri ndani yetu ndio mahakama inayotoa hukumu ndani yetu
NB: Sheria ya Roho wa Uzima inaandikwa ndani ya roho (dhamira) zetu
Rumi 8:14 Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio wana wa Mungu.
=>Roho Mtakatifu anatumia Amani ya Mungu ndani yetu kuzungumza nasi, na Amani ya Kristo ndio kiongozi wa akili zetu
Filipi 4:7 Na amani ya Mungu, ipitayo akili zote, itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu.
Mithali 3:5 Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote,Wala usizitegemee akili zako mwenyewe
Kolosai 3:15 Na amani ya Kristo iamue mioyoni mwenu; ndiyo mliyoitiwa katika mwili mmoja; tena iweni watu wa shukrani.
#AMANI YA KRISTO -
1. Ndio tuliyoitiwa
2. Inaamua ndani
Efeso 4:1-3
1 Kwa hiyo nawasihi, mimi niliye mfungwa katika Bwana, mwenende kama inavyoustahili wito wenu
2 kwa unyenyekevu wote na upole, kwa uvumilivu, mkichukuliana katika upendo;
3 na kujitahidi kuuhifadhi umoja wa Roho katika kifungo cha amani.
#Ili Mungu aendelee kusema nawe hakikisha uwe mtiifu kwake!

Monday, August 14, 2017

UCHAGUZI KENYA: Uhuru Kenyatta atangazwa mshindi

 
Uhuru Kenyatta, baada ya kutangazwa mshindi, ametoa wito kwa wananchi kudumisha umojaTume ya taifa ya uchaguzi Kenya imemtangaza Rais Uhuru Kenyatta wa chama cha Jubilee kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Jumanne.

Rais Kenyatta alipata kura 8, 203, 290.. ambayo ni asilimia 54 naye mpinzani wake mkuu, mgombea wa muungano wa upinzani wa National Super Alliance Raila Odinga akapata kura milioni 6,762,224 ambayo ni asilimia 44.Akitangaza matokeo...