Saturday, May 7, 2016

Mwalimu apigwa kofi na afisa elimu


CHAMA cha Walimu (CWT) Rukwa, kimemkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga, Mathew Sedoyeka ushahidi wa maandishi unaoelezea kitendo cha Ofisa Elimu, Shule za Msingi katika Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga, Peter Fusi, kumshambulia na kumpiga makofi mwalimu mwenzao akiwa darasani.
 
Ushahidi huo ulikabidhiwa kwa Mkuu wa wilaya na Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Rukwa, Hance Mwasajone.
 
Ushahidi huo wa kimaandishi wa tukio hilo umeandikwa na mwalimu mwenyewe, Jacob Msengezi (25) ambaye alisema alipigwa mbele ya wanafunzi wake akiwa darasani shule ya msingi Kianda kabla ya kuamuru walimu wengine kufanya usafi kwa kuokota mbigili ‘miba’ iliyotapakaa katika eneo la shule hiyo akidai kuwa huo ni uchafu.
 
Sedoyeka aliwaruhusu viongozi hao kumtembelea mwalimu na kusisitiza kuwa anafuatilia kwa karibu mkasa huo ili sheria ichukue mkondo wake

Bidhaa ya sukari yaadimika nchini Tanzania

Bidhaa ya sukari imeandimika nchini Tanzania, hii imeifanya serikali Sikivu ya Tanzania inayo ongozwa na Rais Dr. JPM kuagiza kufanyika kwa uchunguzi kwa wafanya biashara wanaficha bidhaa hiyo.

Picha hapo juu inaonesha watu wakisubiri sukari katika duka moja hapa jijini Dar.
May 06 2016 Rais Magufuli alizungumza na wananchi kwa nyakati tofauti katika mikoa ya Singida na Manyara wakati waliposimamisha msafara wake uliokuwa ukitoka Dodoma kwenda Arusha. Rais Magufuli alitoa maagizo kwa wafanyabiashara wanaoficha sukari kuanza kuisambaza mara moja, vinginevyo serikali itachukua hatua kali.

Sasa taarifa iliyotolewa leo jijini Dar es salaam na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Valentine Mlolowa  kuwa Taasisi hiyo imeanza uchunguzi dhidi ya suala hilo kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi. 

TAKUKURU ilitembelea Maghala ya mfanyabiasha Haruni Daudi Zacharia ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Al-Naeem yaliyoko Mbagala na Tabata ambaye ni miongoni mwa wafanyabiashara wakubwa wa sukari hapa nchini na anayetuhumiwa kuficha bidhaa hiyo, haya ndio waliyoyabaini…..

TAKUKURU imebaini kuwepo kwa njama za dhati za kutouza sukari iliyokutwa katika maghala hayo kulikofanywa na mfanyabiashara huyo kwani hata sehemu ya Maghala ilipo sukari hiyo hapakuwa na dalili za upakiaji wa sukari hiyo ili iweze kusambazwa

Nduguye Bush asema hatompigia kura Trump

Aliyekuwa mgombea wa urais wa tiketi ya chama cha Republican nchini Marekani, Jeb Bush, amesema kuwa hatampigia kura Donald Trump katika Uchaguzi wa Novemba.

Bwana Bush alisema kuwa Trump hana tabia wala mienendo ya kuwa Rais wa Marekani.
Jeb ni mojawapo wa wanachama mashuhuri wa Republican kutanganza hadharani kuwa hatompigia kura Bwana Trump kwa sababu ya kampeni yake ya kiburi ambayo imegawanya chama cha Republican.

Mnamo Alhamisi Spika wa Bunge, Paul Ryan, alisema kuwa hatamuunga mkono mfanyabiashara huyo tajiri, ingawa atakutana naye juma lijalo. Hata hivyo Bwana Trump ameungwa mkono na mgombezi wa Urais wa zamani Bob Dole aliyeshindwa katika uchaguzi na Bill Clinton wa chama cha Democratic mwaka 1996.

Tanzania UK Diaspora Taskforce yatoa pongezi kwa Mh. Balozi Dkt. Asha Rose Migiro

JPM warns against sugar hoarding


President John Magufuli issued the ultimatum when addressing residents of Katesh township in Hanang District, Manyara Region. The president was on his way to Arusha from Dodoma yesterday afternoon.

The head of state was commenting on the scarcity of sugar in various areas across the country, something which has also been associated with the rising prices of the commodity.
“There are some scrupulous business people who have started sabotaging the nation’s economy through buying large stocks of sugar from factories and instead of releasing it into the market, they hide the consignment in order to make people suffer.
Consequently, the traders reap higher profits due to escalating prices,” said Dr Magufuli. The president said his government is already working on the issue and that all stocks of sugar that are being hidden under cellars, will be uncovered and distributed free of charge to local residents. The business people who are currently hoarding sugar also risk having their licences revoked.
The “penalty for this serious case of sabotaging the economy and playing with people’s lives, is that among other legal steps, they will also never be allowed to operate anywhere in Tanzania,” maintained the head of state.
As for the banned imports of sugar from overseas, Dr Magufuli pointed out that, the same racketeers collude with their overseas counterparts. They have been importing sugar that had either been past its usage dates or about to expire and selling the same to unsuspecting Tanzanians.
President Magufuli commences his Arusha tour this weekend, starting with commissioning of Officer Cadets at the Tanzania Military Academy in Monduli District today and inaugurating the PPF Commercial Complex in Arusha City on Monday.
The president arrived in Arusha after travelling by road from Dodoma, via Singida, Hanang and Babati in Manyara Region and along the Arusha-Dodoma highway through Minjingu and Monduli.
According to a report from the State Information Agency (Maelezo), the president used the opportunity to meet and address residents along the way. This is Dr Magufuli’s second trip to Arusha after becoming president. He first visited the region last January when he also commissioned Officer Cadets at Monduli

Friday, May 6, 2016

Kenya building collapse: Demolition of unfit houses starts

Bulldozer demolishing buildings in Hurama, Nairobi, 6 May 2016 Authorities in Kenya's capital Nairobi have begun demolishing homes in an area where the collapse of a building killed at least 42 people last week.
Eight buildings deemed unfit to live in were the first to be destroyed in the district of Huruma. More than 200 are to follow.
Officials say many of the houses are substandard or built on unsafe grounds.
A recue operation continues at the collapsed building, which had been declared unfit for human habitation.
At least 70 people are still missing, while 140 have been rescued.
 Rescue work

TRA imefanikiwa kukusanya kiasi hiki katika mwezi April

TRA
Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kukusanya shilingi Trilioni 1.035 ambayo ni sawa na asilimia 99.5 ya lengo la kukusanya shililingi Trilioni moja na bilioni 40 (Trilioni 1.040) katika mwezi April.
Ambapo makusanyo kwa kipindi cha miezi kumi kuanzia Julai 2015 hadi April 2016 jumla ya shilingi Trilioni 10.92 sawa na asilimia 99 ya lengo la shilingi Trilioni 11.02 katika lengo yamekusanywa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam kuhusu mwenendo wa makusanyo ya mapato, Kamishna mkuu wa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA,  Alphayo Kidata, amesema TRA inaendelea na jitihada kuhakikisha inafikia na kuvuka lengo la makusanyo kwa mwaka wa fedha 2015/2016 licha ya kuwepo na changamoto mbalimbali inazokabiliana nazo.
Amesema kwa kipindi cha miezi miwili iliyobaki TRA imedhamiria kukusanya zaidi ya shilingi Trilioni 1.4 ili kufikia na kuvuka lengo la mwaka 2015/2016 ambalo ni shilingi trilioni 12.3, huku wakiendelea kudhibiti wafanyabiashara wanaokwepa kutumia mashine za kielektroniki za kodi (EFD’S) kwa kuwakamata na kuwatoza faini au kuwafikisha mahakamani.
Mpaka sasa wafanyabiashara zaidi ya 300 nchi nzima wamekamatwa na kutozwa faini ya shilingi milioni 746 kwa makosa ya kutotoa risiti, kutoa risiti yenye bei pungufu na kutotumia mashine za kielektroniki, huku baadhi ya wafanyabiashara miongoni mwa waliokamatwa walihukumiwa kifungo au kulipa faini.

Kesi ya Kitilya na wenzake Mahakama imetupilia mbali rufaa iliyowekwa na mkurugenzi wa mashitaka DPP

mahakama Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam leo imetupilia mbali rufaa iliyowekwa na mkurugenzi wa mashitaka DPP ya kupinga kufutwa shitaka la nane la utakatishaji fedha katika kesi inayowakabili Harry Kitilya na wenzake wawili Shose Sinare na Sioi Solomon.
Uamuzi huo umetolewa na jaji mfawidhi wa mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam Moses Mzuna ambapo ametaja sababu za kutupilia mbali rufaa hiyo ni pamoja na rufaa yenyewe kuwa na dosari za kisheria huku akisema upande wa Jamhuri bado una nafasi ya kurekebisha hati ya mashitaka.
Hata hivyo, muda mfupi baadaye DPP alitangaza kukata rufaa mahakama ya rufaa kupinga uamuzi wa mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam ya kusema haina mamlaka ya kusikiliza rufaa yake.
April 27 mahakama ya hakimu mkazi Kisutu ililfuta shItaka la nane la utakatishaji fedha katika kesi inayowakabili aliyewahi kuwa Kamishna Mkuu  wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Harry Kitilya na wenzake wawili Shose Sinare na  Sioi Solomoni ambapo ilisema hatua hiyo inatokana na kutokuwa wazi kwa kosa hilo kwani hakuna maelezo yanayoonyesha namna gani washtakiwa walivyotenda kosa.

Thursday, May 5, 2016

Mradi wa uendelezaji Jiji la Dsm unatarajia kuanza mwezi July

makonda
Mradi mkubwa wa uendelezaji wa Jiji la dsm-DMDP- katika Uboreshaji wa Miundombinu ya Barabara Mbadala,Mifereji ya kupitisha maji taka pamoja na Upanuzi wa mito ili kupunguza athari za mafuriko unatarajia kuanza mwezi july mwaka huu baada ya Benki ya Dunia kutoa kukubali kutoa cha dola za kimarekani Milioni 300.
Aidha Serikali pia imetoa kiasi cha Dola milion 25.5 katika Kuchangia mradi huo katika awamu ya kwanza ambapo utawezesha kujengwa kwa kiwango cha lami barabara mbadala kilometa 65.8,ujenzi na upanuzi wa mito kwa ajili ya kurahisisha Upitaji wa maji, kilometa 13.8 pamoja na upandishaji hadhi makazi ya wananchi mpango utakaochukua miaka mitano kukamilika awamu ya kwanza.
Mkuu wa mkoa wa dsm Paul Makonda  Akizungumza na waandshi wa habari jijini dsm amesema mradi huo utaanza kutekelezwa baada ya makubaliano na maafisa kutoka benki ya dunia yalikyofanyika hivi karibu.
Aidha Bw,Makonda amezitaja kata 14 ambazo ni makazi yatakayopandishwa hadhi na kujengwa nyumba za kisasa pamoja na miundo mbinu ya barabara kuwa ni Tandale ,mburahati,mwanayamala,gongolamboto,kiwalani Ukonga,keko mtoni yombo vituka ,kijichi ambapo pia kata hizo zitajengewa barabara za lami na miondo mbuni ya kisasa ikiwemo taa za barabarani na kutoa wito kwa wananchi kuhakikisha wanatoa ushirikiano pindi mradi utakapoanza.

Rais Magufuli amemuapisha Dkt. Asha-Rose Migiro kuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza

http://www.channelten.co.tz/wp-content/uploads/2016/05/2-1.jpg
Hafla ya kuapishwa kwa Dkt. Asha-Rose  Migiro imefanyika leo katika Ikulu ndogo ya Chamwino Mkoani Dodoma, na kuhudhuriwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Dkt. Asha-Rose Migiro anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Balozi Peter Kallaghe ambaye amerudishwa nyumbani.
Akizungumza baada ya kuapishwa, Dkt. Migiro ameahidi utumishi uliotukuka na kwamba atahakikisha uhusiano na ushirikiano mzuri uliopo kati ya Tanzania na Uingereza unaimarishwa zaidi, hususani katika kuvutia uwekezaji, biashara na utalii baina ya nchi hizi mbili.
Dkt. Migiro pia ametoa wito kwa watanzania waliopo hapa nchini na waishio Uingereza kuitumia ofisi hiyo ya ubalozi ipasavyo, ili waweze kunufaika na fursa mbalimbali hasa za kiuchumi.

Nairobi survivors freed from Nairobi rubble six days after collapse

Four people have been rescued from the ruins of a residential building in Kenya's capital, Nairobi, six days after it collapsed in heavy rains.
Kenya Red Cross says a woman who was first to be rescued on Thursday is now receiving hospital treatment.
Since her rescue, three other people have been pulled to safety.
Thirty-six people have been confirmed dead following the collapse of the six-storey residence last Friday and more than 70 people are still missing.
About 140 people are estimated to have survived the tragedy.

The commander in charge of the rescue effort, Pius Masai, said it was a miracle to find the survivors. He told the BBC his staff would continue to work round the clock until they were sure all survivors were accounted for.
 A woman is carried away in a stretcher by medics as she is rescued after being trapped for six days in the rubble of a collapsed building, in the Huruma area of Nairobi (05 April 2016)
Officials say the first person to be rescued on Thursday was weak but had no obvious signs of injury
A woman is carried away in a stretcher by medics as she is rescued after being trapped for six days in the rubble of a collapsed building, in the Huruma area of Nairobi (05 May 2016)The rescued woman was taken to hospital for treatment 
 
One of those rescued was 24-year-old Elizabeth Night Odhiambo, who was eight months pregnant, her husband Stephen Onyango told the AP news agency.
A crowd clapped and cheered when she was pulled out of the rubble and placed on a stretcher under a blanket and with her face covered with an oxygen mask, in a rescue scene broadcast live on Kenyan TV.
In hospital, Ms Odhiambo underwent an emergency Caesarean section, but doctors said her baby had died in the womb.
Her husband said that he was nevertheless happy that his wife was still alive.
"I cannot describe the happiness I have,'' the truck driver said in an telephone interview with AP. "I have never had such happiness like this in my life."
Mr Odhiambo said he had been able to talk to his with his wife after the surgery and comfort her.
Soldiers, firefighters and volunteers have been searching for survivors since the 29 April collapse of the building.
Trained dogs were brought in, along with special equipment to detect breathing and movement, military spokesman David Obonyo told AP.
Rescuers were able to keep Ms Odhiambo alive by breaking their way through slabs of concrete which were trapping her in a corner of the building. They managed to provide her with oxygen and an intravenous drip of water and glucose.
The building's presumed owners have been released on bail after being arrested on Monday.


Wednesday, May 4, 2016

Violence Increases as Burundi Talks Delayed

Burundian riot police march past a burning tyre roadblock following clashes with opposition protesters in a street in the capital Bujumbura, April 26, 2015.
Burundian riot police march past a burning tyre roadblock following clashes with opposition protesters in a street in the capital Bujumbura, April 26, 2015.

Kenyan Police 'Foiled' Anthrax Attack Linked to IS Group

FILE - Spores from the Sterne strain of anthrax bacteria (Bacillus anthracis) are pictured in this handout scanning electron micrograph (SEM) obtained by Reuters May 28, 2015.
FILE - Spores from the Sterne strain of anthrax bacteria (Bacillus anthracis) are pictured in this handout scanning electron micrograph (SEM) obtained by Reuters May 28, 2015.

Kenyan police say they have foiled a terrorist plot by a group believed to have links to so-called Islamic State.  The group was allegedly planning "large-scale" attacks intended to kill innocent Kenyans.  Suspects include medical experts who police say were planning to launch an attack using the biological agent anthrax.
Kenyan police have arrested medical intern Mohammed Abdi Ali, his wife, and her friend for their alleged involvement in an East African terror network.

Justin Bieber ashtakiwa kwa kuvunja simu

Mwanamuziki Justin Bieber ameshtakiwa kwa dola milioni 100,000 kwa madai kwamba alivunja simu.
Nyota huyo ametuhumiwa kuivunja simu ya Robert Earl Morgan baada ya kujaribu kumrekodi Bieber wakati alipokuwa akinywa pombeKIsa hicxho kilitokea katika kilabu ya Cle mjini Texas mwezi uliopita.
Kulingana na mtandao wa TMZ,Justin Bieber alikasirishwa na kuchukua simu yake na kuivunja.
Thamani ya iPhone haifiki dola 100,000.
Lakini ameshtakiwa kulipa kiasi hicho cha fedha kwa sababu simu hiyo ilikuwa na picha ambazo haziwezi kupatikana tena,ikiwemo picha za sherehe ya miaka 100 ya kuzaliwa kwa bibi yake.
Morgan pia anadai kwamba alipoteza idad kubwa ya nambari zake za mawasiliano ya biashara.

Atletico Madrid yatinga fainali ligi ya mabingwa

MADRID, SPAIN - APRIL 13:  Antoine Griezmann of Atletico Madrid celebrates scoring his penalty with team mates for his team's second goal during the UEFA Champions League quarter final, second leg match between Club Atletico de Madrid and FC Barcelona at the Vincente Calderon on April 13, 2016 in Madrid, Spain.  (Photo by Mike Hewitt/Getty Images)
Klabu ya soka ya Atletico Madrid imefanikiwa kutinga fainali ya klabu bingwa barani Ulaya kwa mara ya pili ndani ya kipindi cha miaka mitatu baada ya kupata bao la ugenini walipokipiga dhidi ya Bayern Munchen ya Ujerumani.
Atletico wakiwa na faida ya bao la nyumbani katika nusu fainali ya kwanza nchini Uhispania, Bayern walisawazisha kupitia mkwaju wa adhabu ndogo uliopigwa na Xabi Alonso kwenye mechi ya Jumanne iliyochezewa uwanja wao wa nyumbani wa Allianz Arena.
Mlinda mlango wa Atletico Jan Oblak aliokoa mkwaju wa penalti uliopigwa na Thomas Muller kabla ya mshambuliaji Antoine Griezmann kusawazisha na kuwa 1-1.
Robert Lewandowski alifunga bao la pili baada ya kupokea pasi ya mpira wa kichwa kutoka kwa Arturo Vidal huku Atletico wakishindwa kusawazisha baada ya mkwaju wa penalti uliopigwa na Fernando Torres kuokolewa na mlinda mlango Manuel Neuer.
Matokeo ya jumla ya nusufainali hiyo yalimalizika sare 2-2 lakini Madrid wakasonga kwa kuwa na bao la ugenini.
Sasa Atletico watakutana na mshindi wa mchezo kati ya Real Madrid na Manchester City utakaopigwa kesho dimbani Santiago Bernabeu katika fainali mjini Milan tarehe 28 Mei.

Monday, May 2, 2016

Kenya police arrest Nairobi collapsed building owner


Kenyan National Youth Service personnel remove stones with hands at the site of a building collapse in Nairobi, Kenya, Saturday, April 30, 2016
The owner of a building which collapsed in Kenya's capital Nairobi on Friday, killing at least 21 people, has been arrested, police have told the BBC.

Samuel Karanja Kamau would appear in court on Tuesday, police added.
Earlier, officials said he did not have permission to rent out 119 rooms in the six-storey building. Mr Kamau has not yet commented on the allegation.

More than 90 people are still feared trapped beneath the rubble, reports the BBC's Abdinoor Aden from the scene.
Rescue operations are continuing, he adds. About 135 people have been freed so far from the collapsed building, local media reports. The governor of Nairobi, Evans Kidero, said that officials who approved the construction of the building in the poor neighbourhood of Huruma would be sacked.

Trump asema Uchina “inaibaka” Marekani


Trump
Mgombea mkuu wa chama cha Republican Donald Trump ameshutumu Uchina na kusema imekuwa “ikiibaka” Marekani kupitia s
era zake za kibiashara.
Ameambia watu waliohudhuria mkutano wa kisiasa Indiana kwamba Uchina imekuwa ikitekeleza “wizi mkubwa zaidi kuwani kutekelezwa katika historia ya dunia.”
Bw Trump, mfanyabiashara tajiri kutoka New York, amekuwa akiituhumu Uchina kwa kuchezea sarafu yake ili kuwa na ushindani wa kibiashara duniani inapouza bidhaa nje ya nchi.
Hilo, amesema, limeathiri sana wafanyabiashara na wafanyakazi wa Marekani.
“Hatuwezi kuruhusu Uchina iendelee kuibaka nchi yetu, na hilo ndilo tunafanya (kwa wakati huu),” alisema mkutanoni Jumapili.
"Tutabadilisha mambo, na tuna uwezo, msisahau. Tuna nguvu sana dhidi ya Uchina.”
Katika manifesto yake ya kampeni, Bw Trump ameahidi kufanikisha mkataba bora wa kibiashara baina ya Uchina na Marekani ambao utawezesha “wafanyabiashara na wafanyakazi kutoka Marekani kuweza kushindana”.
Ametaja malengo manne ambayo yanahusisha kutangaza Uchina kuwa taifa linalochezea sarafu yake na kusitisha utoaji wa nafuu za wafanyabiashara wanaouza bidhaa nje ya nchi ambazo anasema ni haramu.
Aidha, anaitaka Uchina kufikisha kikomo mfumo duni wa masharti ya leba na uhifadhi wa mazingira.

Sunday, May 1, 2016

RAIS DKT. MAGUFULI AHUTUBIA WAFANYAKAZI KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA MEI MOSI MKOANI DODOMA

GU1
Rais Dk John Pombe Magufuli akiwahutubia mamia ya Wafanyakazi katika kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani zulizofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametangaza kuwa serikali yake itapunguza kodi katika mishahara ya wafanyakazi kutoka asilimia 11 hadi kufikia asilimia 9 kuanzia mwaka ujao wa fedha wa 2016/2017 ili kupunguza mzigo kwa wafanyakazi.

Rais Magufuli ametangaza uamuzi huo leo tarehe 01 Mei, 2016 wakati akihutubia katika sherehe za maadhimisho ya siku ya siku ya wafanyakazi duniani, zilizofanyika kitaifa katika uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma.

"Napenda kuwataarifa kuwa serikali yangu kama nilivyoahidi wakati wa kampeni zangu, nimeamua kupunguza kodi ya mapato ya mishahara kutoka asilimia 11 ya sasa hadi asilimia 9, kuanzia mwaka wa fedha wa 2016/2017, nikiwa nina mategemeo makubwa waheshimiwa wabunge watapitisha bajeti ya serikali niliyoiwasilisha" Amesema Dkt. Magufuli huku akishangiliwa na maelfu ya wafanyakazi waliojitokeza uwanjani hapo.