Tuesday, March 29, 2016

Dr MAGUFULI NDANI YA MGAHAWA

Rais wa Tanzania John Magufuli ameingia kwa kushtukiza katika mghahawa mmoja Mwanza na kusalimiana na wateja na wananchi kisha kuagiza chakula na kula pamoja. Aidha, ameagiza kupewa vinywaji baridi kwa wananchi waliokuwepo eneo hilo.
Mmiliki wa mgahawa huo ameahidi kubadilisha jina la mghahawa wake na kuupatia jina la Dk Magufuli Cafe. Picha/Ikulu, Tanzania bbcswahili.com



Dr. Magufuli (Tanzania president), alionekana akipata chakula cha mchana jana tarehe (29/3/2016), alikuwa katika safari ya kuelea nyumbani kwa wilayani Chato kwa ajili ya mapumziko.