Mmiliki wa mgahawa huo ameahidi kubadilisha jina la mghahawa wake na kuupatia jina la Dk Magufuli Cafe. Picha/Ikulu, Tanzania bbcswahili.com
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/v/t1.0-9/12920255_1162421227109874_5745697955932003598_n.jpg?oh=8eff324720ea23b34e6501c7ad7219d4&oe=5778FA29)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/12932943_1162421243776539_3140797740175978078_n.jpg?oh=e5f78c7dea5ce7d94687103361a27a6e&oe=5785ED5C)
Dr. Magufuli (Tanzania president), alionekana akipata chakula cha mchana jana tarehe (29/3/2016), alikuwa katika safari ya kuelea nyumbani kwa wilayani Chato kwa ajili ya mapumziko.