Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
ameshiriki ibada ya Jumapili ya Kupaa kwa Bwana katika Parokia ya Toleo
la Bwana jimbo la Arusha leo Mei 8, 2016.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiagana na Padri Kiongozi Germin Longio...