Tuesday, May 10, 2016

MWALIMU WA NENO LA MUNGU, NDUGU CHRISTOPHER MWAKASEGE

MANA ni Huduma ya Neno la Mungu yenye makao yake makuu Arusha Tanzania. Huduma hii inaongozwa na Neno la Mungu kutoka katika kitabu cha Yohana 21:17 "Yesu akamwambia,"Lisha kondoo zangu". Soma zaidi Bonyeza picha au read more..